Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kanye aendelea kuteseka na Urais

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Rapper Kanye West ameendelea kukumbwa na jinamizi la kesi, kisa Urais aliokuwa akiutaka mwaka 2020, inaelezwa kuwa kampuni ya SeedX Inc imemfungulia kesi Mahakani kwa kukiuka mkataba wa kazi walioingia mwezi wa 7.

Msanii Kanye West

Kwa mujibu wa taarifa za Mahakama zilizodakwa zinaeleza kuwa kampuni ya SeedX walifanya kazi kwa kipindi cha miezi 3 ya kuandaa taarifa, kuandaa mipango mkakati ya kampeni, kubuni na kuandaa matangazo, kujenga mahusiano na vyombo vya habari na kadhalika pasipo malipo yoyote.

Kampuni ya Lincoln Strategy Group ndio walifanya makubaliano na kampuni ya SeedX Inc kwa niaba ya Kanye mwezi Julai, 2020 ambapo thamani ya shughuli zote za kampeni ilikuwa dola milioni 10 na mpaka sasa dola  milioni 1.5 pekee ndizo zimelipwa.

Kanye West Julai 4, 2020 alitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wa Marekani kupitia chama chake binafsi “Birthday Party” na katika uchaguzi huo alipata kura zaidi ya 60,000 kwenye majimbo 12, bado ameonesha nia ya kugombea tena kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2024.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto