Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Goodluck Gozbert wimbo kuchezwa Ikulu

Jumatatu , 21st Oct , 2019

Muimbaji wa nyimbo za Injili hapa nchini, Goodluck Gozbert, amesema kuwa hakuwahi kutarajia hata siku moja, kama wimbo wake ungeweza kuchezwa Ikulu wakati wa shughuli ya uapishwaji wa viongozi.

Akizungumza leo Oktoba 21, 2019, na EATV&EA Radio Digital, ikiwa ni masaa machache tu yamepita tangu wimbo wake ulipotumika Ikulu, wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, akiwaapisha viongozi, Goodluck amesema kuwa kitendo hicho kimemuinua katika viwango vya juu na kuwataka viongozi wateule wafuate nyayo za Dkt Magufuli.

 “Mimi sijawahi kuzoea vitu, kusema kweli nilistuka, nikawaza ni nani aliomba huo wimbo, ilikuwaje wimbo kuchezwa Ikulu, kwanini huo wimbo na hadi Asubuhi hii bado nawaza, unajua wimbo kusikika Ikulu sijawahi kuzoea licha ya kuwa na mimi nilishawahi kuitwa Ikulu, na nikaimba lakini bado kimeendelea kuwa kitu kikubwa kwangu na ninamshukuru Mungu juu ya hicho’’ amesema Goodluck.

Aidha kupitia wimbo wake huo wa ‘Hauwezi kushindana na wanadamu’ na maneno aliyoyazungumza Rais Dkt John Pombe Magufuli, siku ya jana ya Oktoba 20, 2019, Goodluck amewatia moyo viongozi wote wateule na kwamba wafuate nyayo zake za utendaji wake wa kazi na wasiwe watu wa kusikiliza maneno kama yeye anavyofanya.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine