Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kayumba agoma kumuongelea mtoto wake

Alhamisi , 21st Mar , 2019

Msanii wa Bongofleva na aliyekuwa mshindi wa shindano la BSS mwaka 2015, Kanyumba, amekataa  kuongelea taarifa zilizotufikia kwamba ana mtoto ambaye amemtelekeza na hataki jamii ifahamu kwamba alipata mtoto.

Kayumba

Siyo hali ya kawaida kwa mzazi kuacha kumuongelea mtoto wake kama hakuna tatizo, na habari ilizonazo eNewz ni kwamba msanii huyo amemkimbia mtoto na kususa malezi kwa kile alichodai kwamba muziki bado haumlipi, hata hivyo Kayumba aligoma kabisa kuongelea tuhuma hizo na kusema hawezi jibu kitu chochote kwa wakati huu.

"Sidhani kama kuna umuhimu wowote wa mashabiki kujua maisha yangu, binafsi ninachofahamu ni kwamba mashabiki zangu wanapaswa kupata muziki mzuri kutoka kwangu ila mambo ya familia sio vyema wao kuyafahamu kwanza yanaweza yakawafanya wakaacha kufuatilia muziki wangu kwa kuwa hawajawahi kusikia nikizungumzia maisha yangu binafsi tangu wamenifahamu. Aliongea Kayumba.

Hata hivyo Kayumba alisema kwa sasa anahitaji sapoti ya mashabiki zake katika muziki wake kwa kuwa bila wao yeye hawezi kufanya chochote na amewaambia wategemee mambo mazuri kutoka kwake kwa upande wa muziki ila kwa sasa kuna video yake mpya ambao amefanya na Director Snaipa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava