Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Khadija Kopa afunguka mimba alizotoa

Jumatano , 21st Mar , 2018

Malkia wa muziki wa Taarab Afrika Mashariki na kati kama anavyojiita mwenyewe, Khadija Omar Kopa, ameweka wazi juu ya tukio lake alilowahi kufanya wakati yupo kijana la kutoa mimba, na kwamba anajutia kwa maisha yake yote.

kizungumza kwenye kipindi cha #KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa East Africa Television, Khadija amesema mimba hiyo aliipata akiwa kijana na akiwa kwenye chati, hivyo akaona itamuharibia mipango na kuamua kutoa, lakini ni jambo analomuomba Mungu amsamehe kwani si jambo zuri kulifanya.

“Najuta kwweli kweli wakati ule ndio jina limesimama kweli kweli na mimba wapi na wapi, ukute mwanangu angekuwa rais sasa, namuomba Mungu anisamehe, najuta sana na vijana msifanye hilo. Mungu naomba anisamehe sitaki kulisikia tena jambo hilo”, amesema Khadija Kopa.

Khadija Kopa ameendelea kwa kuwataka mabinti kutofanya jambo hilo na kujiepusha nalo, kwani ni ujinga na siyo kitu kizuri.

“Kutoa mimba ni ujinga sana, maana saizi ningekuwa na watoto wangu kama saba, hivyo mabinti zangu nawashauri msije kutoa mimba kwani ni kitu kibaya sana”, amesema Khadija Kopa.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava