Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kibonge mwepesi aeleza sababu ya kupigwa na AJ

Jumanne , 10th Dec , 2019

Bondia Andy Ruiz Jr 'kibonge mwepesi' mwenye uraia wa Mexico na Marekani, amesema kuwa kuongezeka uzito pamoja na kula bata zaidi na marafiki zake, ndiyo sababu kubwa iliyopelekea yeye kuchezea kichapo mbele ya Bondia Anthony Joshua.

Bondia Andy Ruiz na Anthony Joshua wakiwa ulingoni.

Andy Ruiz amesema hayo alipodakwa na kamera za mtandao wa TMZ, wakati anashuka katika Airport ya jiji la Los Angeles Marekani, siku ya Desemba 9, 2019.

"Nahisi nilikuwa nakula kila kitu ndiyo maana nimeongezeka uzito, nilikula sana bata na kufurahia maisha na marafiki zangu pamoja na kunywa vinywaji vya Corona, kwa hili umbo itabidi nifanye mazoezi nchini Mexico na jijini California na nitalichukulia hili jambo kwa umakini zaidi" amesema Andy Ruiz.

Aidha amesema kwa sasa ana mpango wa kuweka kando mambo ya kula bata na marafiki zake, pia ametenga muda wa kukaa na familia yake huku akifanya mazoezi kwa ajili ya pambano la tatu na anataka kurudisha mikanda yake iliyoenda kwa Anthony Joshua.

Katika pambano lake la raundi ya pili alilopigana siku ya Desemba 7, 2019, Andy Ruiz alikuwa na kilo 284,na kwamba ameongezeka kilo 15 tofauti na zile za mwanzo, alipopigana na Anthony Joshua katika pambano lake la kwanza mwezi Juni, lililompatia ushindi wa KO katika raundi ya 7.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava