Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kicheko champa mpenzi Feza Kessy

Jumamosi , 21st Jul , 2018

Msanii wa Bongo Fleva Feza Kessy amefunguka kuwa wanaume wengi anaoingia nao kwenye mahusiano wanapenda cheko lake.

Msanii wa Bongo Fleva Feza Kessy.

Feza amefafanua kuwa hata yeye alikuwa hajui kama anacheka vizuri kiasi cha kufanya wanaume kupagawa juu ya cheko hilo

Akizungumza na www.eatv.tv Feza amesema, amegundua hilo baada ya kukutana na maoni mengi kuhusu cheko lake, pia wanaume wengi anaokutana nao kitu cha kwanza kukisifia juu yake ni kicheko.

Mwanzo nilikuwa najua watu wananitania tu, ila bwana kila mwanaume nayempata unakuta anapenda cheko langu lakini mwanzo ilikuwa ngumu kuamini kuwa wanaume wengi wanapenda kicheko changu, lakini kwa sasa hivi naamini hata mpenzi wangu ndio kitu kikubwa anapenda”,amesema Feza kessy.

Lakini Feza ameingiwa na hofu kwa kusema kuwa muda mwingine hafurahii kuona wanaume wengi wanampendea hicho kitu na anaogopa siku akiwa hana hicho kicheko itakuwa rahisi kuachika.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto