Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kikapu ni ajira tosha- Rama Dee

Jumatatu , 28th Aug , 2017

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee amefunguka kwa kuwataka vijana kuchangamkia fursa ya ajira inayotokana na mchezo wa mpira wa kikapu ili waweze kuondokana na janga la utegemezi katika familia pamoja na kujiinua kiuchumi.

Msanii wa bongo fleva na mkali wa R&B, Rama Dee.

Rama Dee amebainisha hayo muda mchache alipowasili katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay JIjini Dar es Salaam, ilipokuwa ikifanyikia fainali za Sprite BBall Kings 'game 4' baina ya TMT dhidi ya Mchenga BBall Stars na kuwaomba wazee wawe tayari katika kuekeza katika michezo hasa mpira wa kikapu ili uweze kusonga mbele zaidi kama walivyoamua kufanya uongozi wa EATV pamoja na Sprite.

"Binafsi nawashukuru EATV LTD kwa kushirikiana na Sprite kuweza kuupa kipaumbele mchezo wa basketball kwa kuwa ulikuwa unapotea kabisa. Vijana sasa wanapaswa waamke na kuchangamkia fursa iliyopo katika mpira wa kikapu kwa kuwa inatoa ajira",alisema Rama Dee. 

Mtazame hapa chini anavyofunguka mengine zaidi.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava