Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichomtokea Msami baada ya kuachana na Uwoya

Jumapili , 18th Nov , 2018

Msanii wa Bongo Fleva na mkali wa 'kudance', Msami Baby amefunguka juu ya maisha yake ya kimapenzi yalivyo hivi sasa baada ya kuachana na muigizaji maarufu Bongo Movie, Irene Uwoya.

Msami Baby na Irene Uwoya

Akijibu swali katika 'interview' ya Friday Night Live (FNL) inayorushwa na ETV juu ya kupungua kwa umaarufu wake pamoja na kuondolewa katika listi ya wasanii wanaozungumzwa kuwa ni watanashati baada ya kuachana na Irene Uwoya, Msami amesema,

"Wakati mwingine sio kila kitu lazima ukilete katika mitandao, mimi nina bahati ya kuwa na watoto wazuri tuu na hiyo ni kawaida yangu. Anapotoka mtoto mzuri anaingia mtoto mzuri lakini sio lazima tuwe tunatoa taarifa," amesema.

"Ninachotakiwa kukileta hapa ni mziki wangu, kama natoa mziki mzuri na watu wanaupenda basi hayo maisha mengine ya mapenzi ni yapo tuu kila siku," ameongeza.

Pia msami amezungumzia juu ya tabia ya wasanii wa Bongo Fleva hivi sasa kubadilisha sana staili yao ya mavazi katika majukwaa huku staili yao ya uimbaji ikibaki kuwa ileile.

"Sio mabaya kupendeza kwenye 'show' kwasababu ni moja ya sanaa ya kuwavuta watu lakini kitu kikubwa ambacho watu wanakosea ni pale wanaposhindwa kuelewa kuwa shabiki anapokuja kwenye show amekuwa ameshakuona kwenye video jinsi unavyovaa kwahiyo anategema kuona 'perfomance' yako, na sio kwa maana ya kucheza tuu, perfomance ina vitu vingi sana".

Msami ametambulisha video yake mpya inayojulikana kwa jina la 'Lingoma' ambayo ameiachia rasmi wiki hii.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava