Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichomukoa Blue baada ya kutaka kuchanganyikiwa

Jumanne , 11th Aug , 2020

Mkali wa hizi kazi Byser Babilone Mr Blue amesema amepitia wakati mgumu hadi kutaka kuchanganyikiwa na kuacha muziki kipindi ambacho mama yake mzazi alipofariki dunia miaka kadhaa iliyopita.

Msanii wa HipHop Bongo Mr Blue

Mr Blue amesema sasa hivi anajiona kama nyani mzee kwa sababu mama yake na ndugu wengi wa mama yake mzazi wametangulia mbele yaki na hata baba yake pia ametangulia kipindi yeye ana umri mdogo sana.

Aidha ameongeza kusema alivyokutana na hali hiyo alitaka kuchanganyikiwa na ilifika hatua alifikiria kuacha muziki, ila anamshukuru mkewe na mama watoto wake Wahda ambaye amemfanya kusahau hayo yote.

Ikumbukwe Mr Blue amewahi kusema mkewe Wahda anampenda sana kwa sababu amemvumilia wakati msanii huyo alipokuwa na wanawake wengine watatu ndipo alipoamua kumchagua yeye

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji