Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mabaunsa wataja vigezo vyao ili kumlinda mtu

Ijumaa , 11th Oct , 2019

Mwenyekiti wa Umoja wa Mabaunsa Tanzania, Faraj Robert amesema kauli ya Ney wa Mitego juu ya suala la wao kuwalinda watu maarufu hawajaielewa kwakuwa wao wana vigezo vyao wanavyozingatia ili kufanya kazi.

Mabaunsa katika siku ya kmbukumbu ya kuzaliwa ya Irene Louis (officiallyyn)

Amesema hayo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, ambapo amesema Ney wa Mitego hawezi kueleweka kwa sababu anaonekana ana nia ya kuidhihaki tasnia ambayo inasaidia ulinzi wa watu.

"Kauli za Ney haziwezi kueleweka, huwezi ukaikashifu tasnia ambayo inakupa ulinzi wako, familia na mali. Huwezi tu ukasema mabaunsa tuko 'cheap' bei rahisi", amesema Mwenyekiti huyo.

"Sisi vigezo vyetu ni mtu akiwa na pesa tu tunamlinda kwa sababu ni binadamu na anahitaji usalama. Suala lingine tunalizingatia ni mazingira ya kufanya kazi", ameongeza.

Hivi karibuni msanii wa Hip Hop Bongo, Ney wa Mitego aliandika katika mtandao wa Instagram akisema kuwa kazi ya ulinzi binafsi inadhalilishwa kutokana na mabaunsa kukubali kuwalinda watu ambao hawastahili, suala ambalo limeibua hisia kali kutoka kwa mabaunsa hao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava