Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majani amchana Afande kikubwa

Ijumaa , 19th Mei , 2017

Mtayarishaji wa Mkongwe wa Muziki Bongo, P. Funky Majani amemtaka Rapa Mkongwe Afande Sele kumuandikia mashahiri msanii Hamorapa anayechipukia kenye game ili kutimiza ndoto zake na siyo kumkatisha tamaa.

Majani amelazimika kumuomba Afande kufanya kazi hiyo baada ya kumdiss Harmorapa na kusema ''Harmorapa siyo msanii na hataweza kudumu kwenye 'game' ya bongo Fleva kwa muda mrefu".

Majani amefunguka hayo leo kwenye heshima ya bongo fleva ndani  Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kuwa kwa kuwa tayari Afande anakofia ya ufalme wa mashahiri anapaswa kuwasaidia wadogo zake wenye shauku ya kusikika na siyo kuwakatisha tamaa huku akijiona yeye ndiye anafaa kuimba kuliko wengine.

"Afande namuomba kitu , kama unaona dogo anayumba hutakiwi kumbeza bali unapaswa kumuandikia mashahiri na kukuza sanaa yake. Wewe ni Mfalme wa Rymes unapaswa kuwasaidia wadogo zako ambao wanaonyesha juhudi zao binafsi za kujituma. Siyo lazima Afande ufoke wewe usikike wasaidie hawa wachanga wainuke wawe bora kama wewe usiwakatishe tamaa ukiwa wewe ni kaka yao"- P Funk alifunguka.

Aidha Majani ameongeza kwamba Harmorapa amebadilika kimuziki tofauti na alivyoanza hivyo ni vyema akazidi kupatiwa misaada mbalimbali ya kumkuza kipaji chake, huku akimwelezea ni kijana anayejituma, mwenye adabu, pia mwenye shauku ya kufika mbali kimuziki.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava