Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majani atoa 'salute' kwa Fid

Jumapili , 21st Mei , 2017

Mtayarishaji Mkongwe wa bongo fleva, P Funk Majani amemmwagia sifa rappa Fid Q na kusema kwamba ndiye msanii bora wa siku zote kwa kuwa ni mtu mwenye misimamo na hajawahi kubadilika kufuata upepo wa muziki bali amesimamia misingi ya hip hop.

Majani amemwaga sifa hizo kwenye heshima ya Planet Bongo ya East Africa radio, Ijumaa hii na kusema kwamba hawezi kubadili kauli yake ya kwamba Fid Q ndio msanii bora wa hip hop na kusisitiza ubunifu na upekee alionao rapa huyo kutoka jiji la Mwanza ndio sababu kubwa inayomfanya aendelee kusimamia msimamo wake.

"Muziki ni beat lakini pia ni mashairi. Unapozungumzia msanii, Fid Q ni 'full package'  kwa sababu ni mbunifu, na mashairi anayo ya ktosha, haigii msanii yoyote kutoka nje lakini hajawahi kubadilika kutokana na upepo wa game. Kila mara unapomuona Fid utaona kuna vitu vinaongezeka kwake lakini vya kipekee kabisa. Kuna wasanii wanaofanya vizuri lakini ukisikiliza mashairi yao huelewi ila Fid licha ya kuwa na ladha nzuri ya sauti ya muziki lakini mashairi yake yatakufanya useme huyu ni msanii Full Package''- Majani alifunguka.

Kwa upande mwingine Majani amesema wasanii wengi wa hip hop wamekimbilia kuwaiga wasanii wa nje mpaka kushindwa kujitofautisha nao kitu ambacho kinawapotezea ubora sokoni.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu