Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majibu ya Stamina kuhusu ndoa za mastaa kuvunjika

Alhamisi , 16th Jan , 2020

MwanaHipHop Stamina, ametaja moja kati ya vitu ambavyo vinafanya ndoa za mastaa kutodumu ni kutopata mpenzi wa kuwavumilia kwa muda mrefu, kutokana na shughuli zao wanazozifanya.

Picha ya mwanaHipHop Stamina

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Stamina amesema ndoa zinakutana na changamoto nyingi, hali inayopelekea kuvunjika kwa sababu hawapati watu waelewa na wavumilivu.

"Ukiniuliza mimi nitakwambia kitu kingine kinachosababisha ni akili zetu zenyewe, unajua shughuli za wasanii ni kutoka hapa na pale, kupata mtu ambaye atakuvumilia kwa muda wote lazima mtu awe ana uelewa na kazi yako unayoifanya, changamoto za wasanii zinajulikana leo unaweza ukawa Mwanza, kesho Dodoma kwa hiyo lazima upate mtu atakayekuelewa" Ameeleza Stamina.

Aidha msanii huyo wa HipHop ameongeza kwa kusema "Inatakiwa kuwe na viwango vya kuelewa na kuheshimu kazi ya mwenziye, kama haitakuwa hivyo utasikia mara leo katembea na huyu, kesho amechepuka na mwingine, mambo ni mengi na ndoa ina vitu vingi na kwa namna moja au nyingine nimepata nafasi ya kujifunza" ameongeza.

Stamina anatamba na wimbo wake wa asiwaze, ambapo amezungumzia mambo ambayo yamemkuta kwenye ndoa hadi kupelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo, iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto