Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi kibao yajitokeza usaili wa pili Dance100%

Jumamosi , 23rd Jul , 2016

Shindano la Dance100 linaloendeshwa na kituo cha EATV limeingia katika usaili wa pili leo katika viwanja vya Don Bosco Upanga Jijini Dar es salaam ambapo makundi 21 yamejitokeza tofauti na usaili wa awali ambapo yalijitokeza makundi 10.

Kundi la The Quest Crew, ambalo limefanikiwa kutinga tano bora ya usaili wa Dance100 Don Bosco Upanga Dar es salaam.

Jaji Super Nyamwela amesema hamasa imezidi kuongezeka katika shindano hilo kutokana na vijana kutambua umuhimu wa shindano pamoja na zawadi iliyopo ambapo kwa sasa mshindi kunyakua shilingi milioni 7.

''Makundi mengi yamejitokeza na hii inaashiria kwamba uelewa wa shindano ndani ya jamiii unazidi kuongezeka , ndiyo maana kuna makundi mengi yametoka mikoani kuja kuonesha vipaji jambo ambalo ni jema ili waweze kutambulika na kupewa nafasi kulingana na ubunifu na uwezo wao''Asmesema Jaji Nyamwela

Baada ya vijana kuonyesha uwezo wao kwa kila kundi kuonyesha utofauti na jingine makundi ambayo yameweza kufanikiwa kushinda katika usaili wa leo ambayo ni J Combat Crew, The Heroes Crew, The Quest Crew, TWC na Wazawa Crew.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava