Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama yake Dogo Janja awa hoi baada ya kukabidhiwa

Jumatano , 5th Dec , 2018

Msanii wa Bongofleva Dogo Janja a.k.a 'Janjaro', amesema baada ya kumkabidhi mama yake nyumba mpya na kumtoa kwenye maisha ya kupanga aliishiwa nguvu na hajasema lolote zaidi ya kila muda kuonekana haamini kilichotokea.

Nyumba ambayo Dogo Janja amemkabidhi Mama yake. picha ndogo ni Dogo Janja akiwa na mama yake.

Akiongea na www.eatv.tv leo Dogo Janja amesema aliamua kuvaa jukumu la kuwa baba na kupeleka faraja kwa mama yake mzazi baada ya baba yake kufariki miaka miwili iliyopita.

''Ninafurahi nimekamilisha hili ndani ya miaka miwili, nilijjiwekea malengo haya baada ya kufariki kwa baba yangu ambaye daima alikuwa ananisisitiza niwekeze kwenye mali kama ardhi na nyumba, sasa nimemfurahisha mama yangu kiasi kwamba amekosa cha kusema yaani yuko “Too Emotional”, amesema Janjaro.

Dongo Janja amefunguka kuwa yeye aliondoka nyumbani akawaacha wazazi wake wakiwa kwenye nyumba ya kupanga na muda wote alikuwa analala sebuleni lakini leo ametimiza ndoto kubwa ya kuwa na kwao hivyo mama yake ana haki ya kufurahi.

''Mama ana kila sababu ya kufurahi natamani hata baba angekuwepo yeye alikuwa mshauri wangu mkuu lakini hayupo tena tutaendelea kufanya dua tu kwaajili yake maana ndicho anachostahili kwasasa, huwezi kusema utampa pesa au mali'', ameongeza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava