Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mama yangu alinizaa wakati anakunywa" - Hemedy PH

Jumatano , 13th Nov , 2019

Msanii wa filamu na muziki Bongo Hemedy PHD,  ameiambia EATV & EA Radio Digital kuwa sababu ya kuzaliwa mzuri 'Handsome Boy' ni kutokana na mama yake kujifungua huku akiwa anakunywa kinywaji.

Hemedy PHD

Hemedy PHD amejibu suala hilo kutokana na watu kumchukulia kama mtu anayependa sana wanawake yaani 'Play boy'.

"Hapana sipendi wanawake, najipenda mimi mwenyewe tena najipenda sana kuliko kitu chochote na upendo unaanza na mimi kwanza. Watu wanaongea sana na kila mtu anaongea lake si unajua tena ukizaliwa 'handsome boy', mimi Mama yangu amenizaa anakunywa kinywaji kwa hiyo ndiyo maana nimetokea hivi mauzo mengi.", amesema Hemedy PHD.

"Kwa hiyo watu hawapendi kila mtu ataongea lake ila mwisho wa siku watu ambao nipo nao na naishi nao, wanaofuatilia maisha yangu na kuijua thamani yangu wanajua mimi ni nani kwao na namaanisha nini, sijali nani atawaza nini au Hemedy ni nani na anafanya nini.", ameongeza.

Pia Hemedy ameendelea kusema anachojua yeye kwenye maisha yake ni kula, kuvaa, kuhakikisha watoto wake wanapendeza na mama yake ana furaha kwani hiyo ndiyo baraka kwake.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava