Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Manesi wapunguze kuchamba" - Miss Bella

Jumatatu , 13th Jan , 2020

Msanii kutoka kundi la Scorpion girls, Miss Bella, amedai kuwa madaktari wa hospitali za Serikali wapunguze kuchamba na ukali wa maneno, wakati wanatoa huduma kwa wagonjwa wao.

Picha ya Miss Bella

Miss Bella amefunguka hayo kupitia kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio, kinachoruka siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 asubuhi hadi 6:00 mchana, ambapo wamezungumzia mada ya je ni kweli mwanamke akishajifungua anapoteza mvuto?.

"Wanaosema mwanamke aliye na mtoto anapoteza mvuto hana akili, hakuna mwanaume mwenye furaha kama aliyekuwa na mwanamke ambaye tayari ana mtoto, mbona mimi nipo vilevile na nina mtoto tena nina mpango wa kuijaza dunia" amesema Miss Bella.

Aidha mrembo huyo ameongeza kusema "Nina malalamiko kwa madaktari, kuna mtu aliniambia nikitaka kujifungua niende Hospitali za Serikali nikaenda ila nikakutana na kichambo hatari, siendi tena Hospitali za Serikali bora nikatoe pesa nyingi kwenye hospitali binafsi".

Pia ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanaogopa kupata watoto kwa kusema, "Kuzaa sio kuzeeka mwisho wa siku sanaa zinapita, mnatoa sana mimba na umri unaenda nawashauri mzae jamani, unajiita staa wakati hauna mtoto na tabia zenu za ku-fake maisha wakati maisha yenu tunayajua mnatia aibu".
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto