Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Marioo adai kuumizwa na Mastaa wa Bongo

Jumatano , 11th Dec , 2019

Mkali wa BongoFleva hapa nchini, Marioo, amesema wasanii wachanga wasitegemee msaada kutoka kwa wasanii wakubwa, kwani mastaa hawana muda kabisa na kwamba hata yeye kabla hajatoka, aliwahi kuipitia hiyo hali ya kutaka kusaidiwa na hakupata msaada wowote.

Msanii wa Muziki nchini, Marioo.

Marioo amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, wakati akieleza changamoto zake alizokutana nazo kabla ya kuingia kwenye muziki wa BongoFleva.

"Wasanii wengi walinibania ila kitu ambacho nataka niwaambie vijana wenzangu waliopo mtaani na wanataka nafasi, wasitegemee sana 'support' kutoka kwa wasanii kwa sababu wameshasaidia watu wengi ambao wengine wamezingua, hata mimi zamani nilikuwa nakasirika ninapomtumia msanii ujumbe halafu hajibu" ameeleza Marioo.

Marioo ameendelea kusema "Mimi mwenyewe nimeshaumia sana kwenye hayo masuala ya kumpigia msanii simu, halafu anakukatia tena kilichoniumiza zaidi nilimpigia simu mtu ambaye niliamini atanisaidia na ananijua halafu akanipotezea iliniuma sana, ila nimekuja kujua sasa hivi kwamba mastaa wana vitu vingi" ameongeza. 
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto