Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Martin Kadinda azungumzia uhusiano wake na Wema

Alhamisi , 4th Apr , 2019

Aliyekuwa meneja wa mwanadada Wema Sepetu, Martin Kadinda ambaye pia ni mbunifu wa mavazi nchini amesema kuwa kutoonekana muda mwingi na Wema haimaanisha hawana mahusiano mazuri.

Martin Kadinda akiwa na Wema.

Martin amesema kuwa Wema amekuwa sasa hivi anatakiwa ajiongoze mwenyewe kwa kutumia elimu yake aliyonayo kuendesha biashara yake.

"Unapokuwa na elimu naamini ni rahisi kufanikiwa kwenye vitu unavyofanya kwakuwa changamoto utazichukulia katika hali chanya, hutokuwa mwepesi wa kukata tamaa, hivyo basi Wema ni mwanadada msomi na anaweza fanya hivyo kwani amekuwa sasa anatakiwa kujiongeza", amesema Kadinda.

Akizungumzia mwenendo wa Wema amesema kuwa sasa hivi mwanadada huyo anamuona katulia tofauti na awali ambapo alikuwa hakaukiwi matukio.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji