Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Maziwa yanafanya nisiachane na Mke wangu"-Zumo

Ijumaa , 14th Feb , 2020

Kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio kinachoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 7:00 mchana -10:00 jioni, kimepiga stori na mchekeshaji Anko Zumo ambaye amesema mapenzi yake yamedumu kwa kunogeshwa na maziwa ya mkewe Habiba Zumo.

Picha ya Anko Zumo na mke wake Habiba Zumo

Anko Zumo amefunguka hilo kupitia  msimu huu wa wapenda nao na Nogesha Mahaba, ambapo amesema sababu ya kukaa kwa muda mrefu na mkewe ni kunyeshwa maziwa ambayo mpaka leo yamefanya wamefikisha miaka 8.

"Mwanzoni mimi na yeye tulikuwa hatuonekani pamoja japo mapenzi yalikuwepo, huyu ni mke wangu wa tatu, wa kwanza tulikaa miaka mitano wa pili tulikaa mwaka mmoja tukaachana, ila naona huyu ameniweza maana hata akinikera hatuachani, nafikiri ni yale maziwa ambayo yamenogesha kwa sababu tumekaa muda mrefu kwa miaka 8" ameeleza.

Aidha akizungumzia kuhusu utofauti aliouna kwa mke wake huyu wa sasa na hao ambao waliopita Anko Zumo ameongeza kusema.

"Utofauti niliouona kwanza kabisa huyu ni mvumilivu, cha pili ni kitendo cha kulea watoto wangu wote wawili vizuri japokuwa sio wa kwake, tatu haendekezi sana mahaba".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava