Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mlela aanika pesa anayotumia kwa Ebitoke

Jumanne , 22nd Oct , 2019

Muigizaji mkubwa wa Bongo Movie, Yusuph Mlela ameweka wazi kiasi cha pesa anachotumia kwa mpenzi wake wa sasa, Ebitoke pamoja na stori za kuishiwa pesa kuwa ndiyo sababu iliyomfanya kuwa na mwanadada huyo.

Yusuph Mlela na mpenzi wake Ebitoke

Mlela amesema hayo kupitia Enewz ya EATV, ambapo kuhusiana na kiasi cha pesa anachotumia kwa Ebitoke, amesema kuwa huwa hana kiwango maalumu lakini mara nyingi huanzia Shilingi laki 1 au 2.

"Kwa kawaida natumia gharama ya laki 1 au laki 2 ni kawaida tu kulingana na kitu tunachokitaka na inaweza kufika hadi milioni kwa sababu mambo yamebadilika sasahivi anafanya mambo makubwa", amesema.

Kuhusu stori za kuchunwa na wanawake wenye gharama kuwa ndiyo sababu iliyompelekea kumfuata Ebitoke, Mlela amesema, "mimi nimefanya sanaa kwa miaka 14 sasa, nimewekeza vya kutosha. Nimefanya 'project' za kimataifa kama Kenya na hapa nchini kwahiyo mimi siyo marioo"

Mtazame hapa chini akifunguka mengi zaidi.

HABARI ZAIDI

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto