Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mr Blue adai kuna wasanii hawana nidhamu

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Rapa Mr Blue kupitia mahojiano aliyofanya na EATV & EA Radio Digital, ameeleza kuwa vijana ambao wapo kupitia kundi la “B.O.B Micharazo” wamekuwa wakimkosea heshima kutokana na kauli ambazo wanazitoa kwenye vyombo vya habari.

Mr Blue amesema hayo baada ya kuwepo na taarifa za kuvunjika kwa kundi hilo la muziki na kuwaacha baadhi ya wasanii ambao hawana nidhamu ndani ya kundi hilo.

Wale wote ni vijana wangu, hata ukiangalia stori mimi ndiye niliyewatangaza kwenye muziki ila kilichotokea ni kuwapunguza na kuwaacha baadhi ya wasanii ambao hawana nidhamu, kama binadamu wa kawaida naumia kusikia kauli wanazoziongea, naona vijana wangu wananikosea kinidhamu lakini kukoseana kwenye familia ni jambo la kawaida na tumetoka mbali” amesema Mr Blue.

Aidha amesema kuwa kwa sasa kuna mgogoro wa kibiashara ambao umetokea ndani ya kundi hilo ila tayari ameshawasiliana na msanii Nyandu Tozzy, ambaye kwa pamoja walikuwa wanaliongoza kundi hilo ili kuyamaliza.

Akizungumzia suala la kuachia kazi mpya, Mr Blue ametoa wimbo mpya aliomshirikisha Rich Mavoko na kudai kuwa wimbo huo ndiyo ulimuhitaji zaidi Mavoko, kuliko yeye alivyotaka ashiriki.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine