Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrembo muendesha bajaji aibua mapya "Wananiogopa"

Jumatatu , 30th Nov , 2020

Kutana na Happy Mushi maarufu kama 'dada bajaji' ambaye ni mama wa watoto wawili amefunguka kusema watu walikuwa wanamugopa na kumshangaa kwa sababu ya kazi aliyokuwa anaifanya kutokana na jinsia yake.

Happy Mushi akiwa kwenye bajaji yake

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Dada Bajaji amesema ana muda wa mwaka mmoja tangu aanze kazi hiyo ya udereva na ndoto zake ni kumilikia bajaji yake mwenyewe na kusaidia familia yake.

"Kazi ya bajaji niliona itaniingizia kipato na kukidhi mahitaji yangu ndiyo maana nikaingia, kuna mtu nilikuwa namlipa ili kunifundisha, mwanzo walikuwa wananiogopa walidhani sitakuwa serious, kwa sasa mwanaume ambaye atataka anioe aniweke ndani simtaki atakuwa anaharibu kipaji changu cha kutafuta pesa" ameeleza Happy Mushi 

"Abiria wangu wakipanda hii bajaji ni maswali mwanzo mwisho na huwa nawajibu, sishangai watu wanavyonishangaa kwa sababu kwetu Tanzania inajulikana kazi ya bajaji ni ya wanaume ila nataka niwatoe mshangao wao sasa hivi wameanza kunizoea" ameongeza 

Maongezi zaidi tazama hapa chini kwenye video.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava