Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii Mezi B Afariki Dunia

Ijumaa , 20th Feb , 2015

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la Chamber Squad, Moses Frank Mshangama maarufu kwa jina la 'Mez B' amefariki dunia asubuhi ya leo huko mjini Dodoma.

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la Chamber Squad, Moses Frank Mshangama maarufu kwa jina la 'Mez B' amefariki dunia asubuhi ya leo huko mjini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mama yake mzazi mchungaji Marry Mkandawile inasema kuwa Mez B alikuwa akisumbuliwa na maambukizi katika mapafu na uti wa mgongo kwa muda mrefu, maradhi ambayo huenda ndiyo yaliyosababisha kifo chake.

Mchungaji Marry Mkandawile amesema kuwa Mezi B alianza kusumbuliwa na maradhi hayo mwishoni mwa mwaka jana akiwa Dar es salaam, ambapo baada ya hali kujirudiarudia, familia yake iliamua kumhamishia nyumbani kwao mjini Dodoma mwishoni mwa mwezi Desemba mwaka jana kwa matibabu zaidi.

Mez B anakuwa ni msanii wa Pili kufariki dunia kutoka katika kundi hilo katika kipindi cha miaka miwili baada ya Albert Mangwea aliyefariki mwezi Mei mwaka 2013.

Maziko yatafanyika siku ya Jumatatu (Februari 23) nyumbani kwao maeneo ya Kisasa mjini Dodoma.
EATV inatoa pole kwa familia ya marehemu na wote wale wanaoguswa na msiba huo kwa namna moja ama nyinine.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu