Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii wa Bongofleva afiwa na mama yake

Jumatatu , 29th Jun , 2020

Msanii wa BongoFleva kutokea kundi la Wakali Kwanza Makamua amefiwa na mama yake leo hii Juni 29, na msiba upo nyumbani kwao Tabata Kisukulu ambapo anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa au Jumamosi.

Msanii wa BongoFleva Makamua

Akizungumza na mtangazaji JR Junior msanii Makamua amesema chanzo cha kifo mama yake ni matatizo ya Moyo na umauti ulimkuta baada ya kudondoka ghafla.

"Mama alikuwa na imani sana ya dini, kuna muda alikua akifanyiwa maombi basi anaamini Mungu atamponya na imani yake ilipelekea akaacha kutumia dawa za kutuliza presha jambo lililopelekea moyo wake ukawa unaongezeka ukubwa kila kukicha

Aidha Makamua ameongeza kusema "Umauti umemkuta baada ya kudondoka ghafla na alipopelekwa hospitali madaktari waliamuru afanyiwe operationbaada ya vipimo, lakini walipomueka kwenye mashine ya kupumulia ubongo wake ulisoma sifuri kitu kilichoashiria alikua ameshafariki kabla ya kupatiwa huduma

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava