Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Muziki bado unaendesha maisha yangu - Suma G

Ijumaa , 20th Jan , 2017

Rapa Suma G ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali kama 'Vituko uswahilini', Demu wako na pia alikuwa akiunda kundi la Hotpot Family amefunguka na kusema mpaka sasa anaendesha maisha yake kwa muziki.

Suma G

 

Suma G akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio amesema mpaka leo anapata show na kufanya show mikoani na kupata pesa ambazo zinamsaidia kuendesha maisha yake ya kila siku.

"Nipo kwenye muziki ingawa mara ya mwisho kutoa kazi mpya ni kama miaka miwili hivi, ila mpaka sasa naendelea kufanya movements za muziki na muziki huohuo unafanya niendelee kuishi mpaka leo. Huwezi amini mimi naendelea kufanya show sababu muziki tuliofanya kipindi hicho ulikuwa mkubwa ndiyo maana mpaka leo naweza kufanya show na kupata riziki yangu" alisema Suma G. 

Mbali na hilo Suma G anasema licha ya kutotoa kazi mpya muda mrefu lakini mashabiki wamekuwa wakimpokea vyema kila anapokwenda kufanya show mikoani.

"Muda mwingi nafanya show ambazo naziandaa mimi mwenyewe, huwezi amini muziki wangu unaendelea kufanya vyema kila kona nayokwenda, kwa hiyo sijashiriki matamasha makubwa mengi nimekuwa na timu yangu tunajipanga tunakwenda tunashambulia tunapata riziki yetu tunarudi mjini na maisha yanaendelea" alimazia Suma G 

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90