Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakinyo alivyoguswa na ajali ya mashabiki zake

Jumamosi , 30th Nov , 2019

Baada ya kuibuka mshindi dhidi ya mpinzani wake raia wa Mfilipino aitwaye Arnel Tinampay, Bondia Hassan Mwakinyo ameeleza kuguswa na tukio la ajali iliyowakumba mashabiki waliokwenda kumshangilia ambayo ilitokea eneo la Bunju jijini Dar es salaam.

Bondia Hassan Mwakinyo.

Katika ajali hiyo watu wawili wanatajwa kufariki Dunia huku taarifa za awali zikieleza majeruhi waliokuwa kwenye basi hilo walipelekwa kwenye Hospitali ya Bagamoyo.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, bondia Hassan Mwakinyo ameandika kuwa,"kwanza nimshukuru mwenyezi mungu kwa kumaliza pambano langu salama,kwa dhati ya kipekee kabisa, naishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuwa bega kwa bega na mimi pamoja na Watanzania wote kwa ujumla wenu nawapenda sana pamoja na vyombo vya habari vyote"

"Pili nimeshtushwa na ajali iliyotokea jana usiku kwa mashabiki na ndugu zangu wa Tanga, walipokuwa wanatoka kwenye pambano langu, huzuni kubwa kwangu na Tanga kwa ujumla, nipo pamoja na familia na wana Tanga wote kipindi hiki cha huzuni, Allah awape kauli thabiti, na awape pepo ya firdaous innallilah wainnailaihi rajoun" ameongeza

Aidha katika pambano la jana ambalo alishinda kwa pointi  (97-93, 98-92, 96-96) lilihudhuriwa na baadhi ya wasanii mastaa  kama Ommy Dimpoz na Mwana Fa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava