Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwana FA awasanukia wapenda 'kiki'

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Rapa Mwana FA, a.k.a The Choir Master amewataka wasanii wenzake wawe na mapenzi ya dhati katika kile wanachokifanya ili kiweze kuwaletea manufaa zaidi nasiyo kutegemea kiki kuliko muziki wao.

Rapa Mwana FA, a.k.a The Choir Master.

Mwana Fa amebainisha hayo baada ya wasanii wengi kufahamika zaidi kupitia skendo mbalimbali kuliko hata muziki wake ambao anaoufanya kama kazi yake kila siku.

"Kitu cha kwanza ninachokitaka kwa wanamuziki wawe na mapenzi na muziki, maana tunakosea sana tunavyofanya muziki biashara kwa kutegemea muziki utuletee pesa tu na umaarufu bila ya kuwa na mapenzi kwenye muziki wenyewe. Ndiyo maana tunaona makiki yanazidi kuliko muziki tunaofanya, yaani watu wanafanya matukio yanawapa umaarufu lakini ukija kuulizia kazi zake huzijui alizofanya", alisema Mwana FA.

Pamoja na hayo, Mwana FA amesema kwa upande wake aina ya muziki anaoufanya ndiyo unapelekea kutofanya 'collabo' nyingi na wasanii wa kimataifa.

"Naamini kuna soko kubwa sana hapa Tanzania, naona jinsi nguvu nyingi zinazotumika kujaribu labda kuupeleka muziki wetu nje ya mipaka yetu. Siwezi kuzika hili ni soko langu naamini hata bado sijalimaliza, soko letu lipo hapa hapa hizi nyingine zinakuwa mbwembwe tu kufanya kazi na wasanii wa nje ili tutishie wasanii wa ndani kwamba mimi nimeshakuwa mkubwa naweza kukaa katika nyimbo moja na msanii fulani. Kwa hiyo kama naweza kuwafikia watu, naweza kutengeneza namba moja 'hits song' bado sina presha zikitokea sawa sina stress nazo".

Kwa upande mwingine, Mwana FA amewashauri wasanii wenzake watengeneze nyimbo zilizokuwa bora ili ziweze kusikilizwa na kila mtu bila ya kubagua mtu wa kusikiliza.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu