Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwijaku afunguka kuhusu Nandy kuwa Mke wa mtu

Ijumaa , 13th Dec , 2019

Muigizaji Mwijaku amefunguka na kusema suala la Nandy kutaka kuwa mke wa mtu ni jambo jema na amejibashiria jambo zuri  katika maisha yake.

Kushoto kwenye picha ni Mwijaku, kulia ni Nandy.

Siku ya Novemba 18, 2019 kwenye ukurasa wa mtandao wa Instagram, Nandy alipost picha na kuandika anaenda kuwa mke wa mtu, jambo ambalo lilifanya watu wahisi amepata mchumba na anajipanga kwa ajili ya kufunga ndoa.

"Nimeishi na Nandy ni miongoni mwa watu waliofundwa na wakafundika ni Mke halisi, hakuna kitu ambacho kinaumiza wanawake kama kuendelea kuwa 'single' na kutokuwa na mtu wa moja kwa moja, kwahiyo mtu kama Nandy kuanza kupambana kusema anataka kuwa mke wa mtu ni jambo zuri" ameeleza Mwijaku.

Aidha Mwijaku ameongeza kuwa, "Unajua unatakiwa ujibashirie jambo zuri ndiyo mambo yanaenda, yeye anajibashiria ndoa ili maisha yake yawe mazuri, sijajua ni nani atakae kuwa naye ila atatuweka wazi maana Nandy naye siku hizi amekuwa msiri sana kwenye mahusiano yake na amekuwa msafi". 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto