Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee afanyiwa tambiko baada ya kufumaniwa

Jumapili , 10th Mei , 2020

Mzee wa miaka 84 kutoka kaunti ya Bungoma nchini Kenya amelazimika kufanyiwa tambiko la kuchinjiwa kondoo baada ya kufumaniwa na mkwe wake wakifanya mapenzi.

Gari la polisi lililoenda kumuokoa baada ya tukio hilo

Mzee huyo ametambulika kwa jina la William Makhanu, amewashtua wanakijiji wa eneo lake baada ya kufanya tukio hilo na nia ya kufanyiwa tambiko kwa kabila lao la Bukusu ni kumtakasa na kuzuia laana kwenye familia.

Akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa wazee wa Bukusu Jared Barasa amesema "Kulingana na mila na desturi zetu ni makosa,  sisi kama wazee tutalazimika kumchinja kondoo kumtakasa pamoja na mkwe wake".

Aidha mmoja wa watoto wake aitwaye Wanjala amesema mzee wao aligoma kufungua mlango hadi walipolazimika kuuvunja akihofia adhabu ya kuchapwa viboko 20. 

"Tulimuamuru  aondoke chumbani ila alikataa  hadi tukalazimika kuuvunja mlango, kama wanawe tunahisi aibu kubwa kwa kuwa tuna wake na labda huenda amekuwa akiwatumia wote"

Chanzo Tuko News, Kenya

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava