Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nabadilika na mazingira ya sanaa" - Chemical

Jumatano , 26th Jul , 2017

Rapa Chemical baada ya kuonekana kwenye muonekano mpya hivi karibuni, amefunguka mapya na kusema yeye kuonekana amevaa nguo za kuogelea siyo kitu cha ajabu kwake kwani akiachana na muziki uliomtambulisha uigizaji ni kipaji cha pili alichojaaliwa.

Chemical amesema ingawa amewashtua mashabiki zake ambao wengi wao hawakutegemea kumuona akivaa nguo kama alivyoonekana kwenye video aliyoshirikishwa na Msami Baby 'So Fine',  amewatoa hofu mashabiki zake na kwamba anauwezo wa kuvaa uhusika wa aina yoyote haswa ikiwa suala la sanaa.

"Kitu ambacho watu wanapaswa kujua mimi ni muigizaji. Ukiachana na muziki ulionitambulisha kwenye jamii ya Tanzania naweza kufanya kitu kingine chochote kinachohusiana na sanaa. Mavazi niliyovaa hayajanipa tabu kwani niliyakuta location nikaambiwa nivae na kwa sababu Msami aliangalia suala hili haswa kibiashara zaidi sikutaka kumfelisha. Chemical anabadilika kutokana na Mazingira" alisema.

Kwa upande wa Msami ambaye ndiye aliyetoa wazo la kubadilisha muonekano wa Chemical amesema alitaka kuonyesha uwezo wa Chemical katika utofauti uliozoeleka.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA