Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namba alizotoa Ben Pol kwa wasanii ni noma

Jumatatu , 18th Nov , 2019

Mkali wa muziki wa RnB nchini Tanzania Benard Paul "Ben Pol" ameanzisha mjadala kwa kuweka orodha ya wasanii wake 15 bora wa muda wote kwa kipindi cha miaka 10 hadi 20 mpaka kufikia sasa.

Msanii Ben Pol

Ben Pol ameweka orodha hiyo ikiwa na majina ya mastaa wa muziki wa BongoFleva kama 1. Ngwair  2. Lady Jay Dee 3. Proffesor J  4. Dully Sykes 5. Juma Nature 6. AY  7. Fid Q  8. Mwana Fa  9. Joh Makini  10. Ben Pol 11. Diamond  12. Mr Blue  13. Ali Kiba  14. Gnako na 15. Nikki Mbishi.

Baada ya kupost hivyo baadhi ya wasanii kama Lady Jay Dee na AY wali-comment kwa kushukuru kuwekwa katika orodha hiyo ya wasanii bora wa Ben Pol.

Ila hali imekuwa tofauti kwa mashabiki ambao wengine walitoa maoni yao kwa kuandika ni sawa wengine walisema haipo sawa ila kwa upande wa msanii wa HipHop Wakazi yeye aliandika kuwa

"Umebeba list nzuri, ingawa naona kama ungeandika 20 badala ya 15,  kwa sababu kutoweka watu kama Chid Benz, Jay Moe, TID, Sugu, na Inspekta Haroun haijakaa sawa, ila nakubaliana na orodha hiyo" ameandika Wakazi.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava