Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nape 'apangua' maswali Kikaangoni

Jumatano , 19th Feb , 2014

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Nape Nnauye, leo hii amepata nafasi ya kuchat na umati mkubwa wa wapenzi wa ukurasa wa Facebook wa EATV na kuweka sawa madukuduku na maswali yao kibao kuhusiana na maisha yake binafsi pamoja na kisiasa.

eNewz imelifuatilia zoezi hili kwa karibu na pia kupata nafasi ya kuongea na Nape kuhusiana zoezi la Kikaangoni ambalo amelifurahia, lakini pia akatueleza kuhusiana na hobbie yake ya muziki pamoja na majukumu ya burudani anayosimamia katika chama chake ambapo ameeleza kuwa bendi zote za chama ikiwepo TOT zipo chini ya uongozi wake.

Mwanasiasa huyu mahiri pia amewataka watu kufahamu kuwa kila apatapo muda huwa anafanya mazoezi ya kupiga gitaa, na pia kwa sasa ameamua kurudi darasani kusoma zaidi muziki japokuwa amekiri kwa upande wa kuimba anaona kiwango chake kimeshuka kidogo.

Nape pia akatueleza kuhusiana na muziki wa kizazi kipya pamoja na kuweka wazi mapenzi yake kwa kazi za muziki za Mwana FA, Linah, Banana na Lady Jay Dee kati ya wengine ambao kazi zao kwa sasa anazihusudu sana.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine