Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Naweza kumpata mwanamke yeyote nitakaye' - Marioo

Jumanne , 3rd Dec , 2019

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini , maarufu kwa jina la Marioo, amesema kwa sasa alipofikia, pamoja na kazi nzuri anazozifanya anao uwezo wa kumpata na kummiliki mwanamke yeyote anayemtaka.

Pichani ni msanii Marioo 'Toto Bad'.

Akiieleza EATV & EA Radio Digital, Marioo amesema hakuna mtu anayeweza kupenda kazi zako kama hakupendi na wewe , pia kuwa na mwanamke ni muhimu ambapo hadi sasa hajafikiria aina ya mwanamke atakayekuwa naye.

"Sizingatii sana 'bebe', kwa sasa hivi naangalia muendelezo wangu uweje, maana wanawake wapo tu kama unakuwa unafanya kazi nzuri hakuna mtu atakayekuchukia na kutokukupenda, naamini kwenye kazi nzuri nitampata bebe yeyote ambayo natamani kuwa naye hata kama sio leo kesho, au kesho kutwa" ameeleza Marioo.

Pia Marioo amesema kwenye nyimbo zake anazoimba, hakuna jambo lolote ambalo linamuhusu au lililowahi kumtokea, ila huwa anajaribu kufikiria na kuwaza mtaani kinatokea nini au kipi watu wanapenda kusikia kwa wakati huo.
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji