Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay ajisafisha ishu ya Roma Mkatoliki

Ijumaa , 21st Apr , 2017

Mwanamuziki anayesumbua kwa sasa na wimbo wa 'Wapo' Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego amejitetea kwenye eNewz ya EATV kuwa watu wasihusishe vitu anavyoweka kwenye mitandao ya kijamii na tukio la utekwaji wa msanii Roma Mkatoliki.

Nay amefunguka hayo baada ya kuulizwa kuhusu maneno aliyoyaweka kwenye mtandao wake wa Instagram siku moja baada ya kupatikana kwa msanii Roma pamoja na wenzake wanne ambao inasemekana walitekwa na watu wasiofahamika.

"Ni dhambi kubwa watu kuhusisha post zangu na tukio la Roma kwa sababu mimi sikumlenga mtu yeyote yule. watu wameamua kuunganisha tukio la Roma na post zangu kwa sababu ya mihemko waliyokuwa nayo. Mimi nina washkaji wachahe sana na Roma ni mshkaji wangu sana na ninaamini alipata matatizo kweli. Watanzania nao naomba wamuamini kwa kipindi hiki ambacho anauguza majeraha lakini pia wamsapoti tukianza ku-coment vitu vya tofauti tutaharibu hata carrier yake na yule ni msanii hii ndiyo ajira yake" - Alisema Nay wa Mitego.

Hii ndiyo post ya Nay iliyozua gumzo baada ya Roma kupatikana

Hata hivyo katika siku yake ya kwanza kuzungumza na wanahabari baada ya kupatikana, Roma pamoja na mambo mwengine aliwalalamikia baadhi ya wasanii ambao ni watu wake wa karibu kumzungumzia vibaya kuwa anatumika kisiasa na baadhi ya wanasiasa na hata tukio la kutekwa alilipwa dola 5000 kwa ajili ya kuwapumbaza wananchi.

Mtazame hapa Nay katika show ya eNewz

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto