Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay Wa Mitego ataja sababu za Roma kukimbia TZ

Jumapili , 21st Jun , 2020

Kupitia mtandao wa Instagram Nay Wa Mitego amemchana Roma Mkatoliki baada ku-comment kwenye wimbo wake wa Mungu Yuko Wapi, kwenye post hiyo Nay amesema Roma anajitoa ufahamu, ametaja sababu za Roma kukumbia Tanzania, pia amemshauri arejee kwani kuwa watu wanaweza kutembea na mke wake.

Msanii Nay Wa Mitego upande wa kushoto, kulia ni Roma Mkatoliki

"Mpendwa Roma Mkatoliki wewe ni mshkaji wangu ila kuna wakati nadhani unajitoa ufahamu sijui, kwamba wewe unaimba nyimbo ambazo Bi mkubwa akisikia wala hawezi kupanic wala kupanikishwa na watu baada ya wimbo kuzua mijadala, kwanza umekimbia nchini kwa sababu ya wimbo wa "Naitwa Roma".

"Kipindi ulivyotekwa mimi binafsi sikulala siku mbili tulikua tunashinda polisi Osterbay, Mama Roma alisema hataki tena uimbe muziki, ukiwa unanishauri muda mwingine usijifanye wewe ni mlokole kama unaimba Gospel, kuhusu huu wimbo wa Mungu yuko wapi wala hukutakiwa kutia neno coz wewe ni mwana sana

"Nikushauri tu mwanangu fanya urudi watu watapita na mkeo, hakuna mwanamke anayeweza kuvumilia kukaa mwaka mzima bila ya kujamiiana, hao wanawake walishakufaga enzi za mababu zetu, kama una mpenda mkeo na watoto fanya urudi hakuna mtu wakukukamata mambo ya wimbo yalishapita" ameandika Nay Wa Mitego 

 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine