Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nedy afunguka kuhusu kutapeli watu na kufumaniwa

Jumatatu , 9th Sep , 2019

Msanii Nedy Music amefunguka kuhusu malalamiko ya kutapeli watu pesa, kuomba picha za utupu wanawake katika mitandao ya kijamii pamoja 'issue' za kufumaniwa.

Nedy Music ameeleza hayo baada ya kupost picha ya malalamiko hayo na kuifuta katika mtandao wa kijamii wa Instagram siku kadhaa zilizopita.

Akiongea na EATV & EA Radio Digital Nedy Music amesema kuwa,

"Ni mtu ambaye alikuwa anatapeli watu Nedy feki, alikuwa anafanya hivyo kwa muda ila niliweza kumpata kumpeleka kituoni na alikiri hatarudia lakini baada ya muda alianza kurudia hayo mambo, kwa hiyo mitaani zilikuja stori kwamba Nedy anaomba watu pesa ya mafuta na studio".

Nedy Music ameendelea kusema alikuwa anapata maoni na kupokea meseji za watu kutaka pesa zao na aliamua kupost ili ajulishe watu kwamba hahusiki kwenye kutapeli watu wala kuomba picha za utupu.

Aidha msanii huyo amezungumzia endapo kama atakutwa na 'issue' za kufumaniwa ambapo amesema,

"Haitawahi kutokea na haitakuja katika maisha yangu kwa sababu mtu ambaye nipo naye ni tupo wawili tu hakuna mtu mwingine na siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke wa mtu" amesema Nedy Music.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA