Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neno la Odama kwa wadangaji wa BongoMovie

Ijumaa , 20th Mar , 2020

Moja kati ya tasnia ambayo inaongoza kwa kutuhumiwa na ishu za udangaji ni BongoMovie, lakini muigizaji Odama amesema hiyo ni tabia ya mtu binafsi, siyo lazima awe maarufu au atokee kwenye tasnia yao.

Msanii wa filamu Odama

Odama amefunguka hayo kwenye show ya eNewz ya East Africa TV, ambayo inaruka siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 12:00 hadi 12: 30 jioni, ambapo amesema

"Mimi naamini kila mtu ana tabia yake, kabla hata hujaingia katika kazi ambayo sisi tunaifanya kila mtu huingia na tabia yake aliyokua nayo, kwahiyo wale wote ambao wamegeuka kuwa na tabia ya kudanga, basi huo ndiyo uhalisia wao tangu zamani na wote wenye tabia nzuri hawajabadilika" ameeleza Odama.

Msanii huyo wa filamu ameendelea kusema "BongoMovie haichangii watu kudanga ili kuonekana maisha yao yapo juu, inawezekana hata mtu asiwe na jina, ustaa, umaarufu lakini ukadanga  wanaodanga wote kwenye filamu walikuwa wanataka wapate nafasi ili waonekane wafanye mambo yao" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava