Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki awatetea wasanii kutosoma

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Msanii Nikki wa Pili amedai kuwa watanzania wengi hawajapata elimu kutokana na kuwa mfumo wa elimu Tanzania unabagua watu na ndiyo maana hata wasanii wengi hawajaenda shule na siyo kwamba hawapendi shule.

Msanii Nikki wa Pili

Nikki amefunguka hayo na kusema kuwa mchakato wa michujo inayotumika kupata wasomi imekuwa ikiwatenga wanafunzi wenyewe na hali hiyo inasababishwa na elimu inayotolewa ili kumkuza mwanafunzi.

Nikki amesema kwamba licha ya kulalamikiwa wanafunzi wanalega shule ni kutokana na kukosa mfumo bora wa kuwapelekea wao kutimiza ndoto zao zaidi ya kukaririshwa kuhusu elimu.

"Nikienda shuleni sasa hivi nikimuambia mwalimu anipe wanafunzi 10 wenye akili ataniletea anayejua hesabu, physics na masomo mengine lakini sitaletewa mwanafunzi anayejua kuchonga au anayejua muziki 'so' ikifika hapo unakuta mwanafunzi mwenyewe anaamua kufuata kile ambacho anaona anakiweza. Hivyo kwa mfumo huu hata wasanii wengi unakuta hawaendi shule" , amesema Nikki.

Aidha Nikki ameongeza, "Mtu kama Joh Makini na Rama Dee wana elimu za muziki ambayo wamejifunza, hivyo lazima watafanya vizuri, tofauti kama wangekuwa wanafanya kitu ambacho hawakipendi.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA