Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki wa Pili awapa darasa BASATA

Jumatatu , 27th Mar , 2017

Msanii Nikki wa Pili kutoka katika kampuni ya Weusi amelitaka Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kufanya mpango kuwaita wasanii kwa ujumla ili wakae pamoja waweze kuwaweka sawa juu ya neno "maadili" linalotumiwa kama fimbo ya kuwachapa 'wasanii'.

Nikki wa Pili (kushoto) ndani ya Planet Bongo

Ametoa neno hilo leo wakati wakitambulisha wimbo wao mpya unaoitwa 'Ya Kulevya' kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio amesema wamekuwa katika njia panda baada ya kushindwa kuelewa neno hilo linavyotumika huku akiwatoa wasiwasi wadau wa muziki na mashabiki zao kuwa wimbo huo mpya hauna maana ya vitu vinavyoendelea nchini kwasasa.

"Wimbo wetu wa 'Ya kulevya' huu ni wimbo wa mapenzi unaozungumza juu ya mwanaume aliyependwa sana na mkewe na familia yake, upendo ukamlevya akaanza kujisahau na kula bata na mwishowe kuharibu familia, tunasikitishwa na watu wanaojaribu kubadili maana hii, imekuwa kawaida kwa msanii kutumia maneno au misemo iliyoko katika jamii wakati huo kwani hata matangazo ya biashara, 'Comedy' hufanya hivyo ili kuwavutia wateja wao". Alisema Nikki wa Pili

Vile vile msanii huyo alisisitiza kwa kusema kuwa kabla ya kutoa kazi hiyo imekaguliwa na chombo cha maudhui ya sanaa

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe