Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilijua tu singeli itakufa "- Msaga Sumu

Jumatatu , 17th Jul , 2017

Msaga Sumu amefunguka na kusema alitambua mapema kwamba aina ya muziki wanaofanya utakufa mapema kwani wasanii wake hawana ushirikiano.

Akizungumza na Stori tatu ya Planet Bongo, Msaga Sumu amesema kwamba wasanii wachanga waliokuja kuibuka hivi karibuni ndio chanzo cha kupelekea singeli kupotea kwani walianza kutengeneza mabifu wao kwao badala ya kuboresha kazi.

"Nilijua muziki wa Singeli utakufa kwa sababu hatukuwa na ushirikiano, wenzetu wa bongo fleva wamefanikiwa sana mpaka wamejijengea majina makubwa ni kwa sababu wameweza kushikamana, Tatizo pia hawa watoto waliokuwa wametamba na nyimbo zao mbili mbili nao wakaanza kuwekeana mabifu na mwisho wa siku wamepotea wao walidhani wamemaliza", Msaga amesema.

Akizungumzia kwa upande wake kushindwa kuachia nyimbo mfululizo, Msaga Sumu amesema 

"Mimi niliacha kutoa nyimbo baada ya kuona tena kuna kuigana. Wasanii wanashindwa kuwa wabunifu kwa sababu na badala yake wote tukawa tunaonekana hatuna kitu chochote" aliongeza Msaga Sumu.

Msikilize hapa chini akifunguka zaidi.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA