Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Mwana FA kuhusu video za Menina

Jumanne , 15th Oct , 2019

Neno 'Connection' limekuwa likiongelewa kila siku, hasa pale linapotokea tukio ambalo hushangaza watu na linalozungumzwa sana midomoni na kwenye mitandao ya kijamii.

Juzi kati zilizuka video na picha zisizo na maadili, zilizomuonesha Menina Tz akiwa mtupu, jambo ambalo lilipelekea akaitwa na Baraza la sanaa la Taifa (BASATA), kwa lengo la kuzungumza naye ili kujua undani wa picha na video hizo.

EATV & EA Radio Digital, ilimpata msanii na mfanyabiashara Mwana Fa, ambaye pia ni mjumbe wa bodi ya BASATA kwa nia ya kulitolea ufafanuzi  suala hilo.

Sitaki swali hilo sijaziona kwanza hizo picha na sina 'connection'' amesema Mwana Fa.

Aidha Mwana Fa ameeleza  tukio lake la kukamilisha kupanda Mlima Kilimanjaro kwa kusema.

Ilikuwa ngumu ila ni changamoto nzuri na kila mtanzania anatakiwa kuifanya katika maisha yake japo mara moja kwa sababu ina ugumu wake na ina ushujaa wake, kama umefanikiwa kuumaliza, kuna mahali ukitembea kila baada ya dakika 10 ilikuwa lazima ukae chini au unapanda kwa kutambaa” ameeleza Mwana Fa.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine