Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75' - Miss Bella

Ijumaa , 10th Jan , 2020

Mrembo ambaye ni msanii wa filamu na muziki, Miss Bella, amesema tangu amezaliwa kwenye mahusiano yake ameshafumaniwa zaidi ya mara 75, na mwanaume akiwa kwake hawezi kumuacha mpaka yeye atakapoamua.

Picha ya Miss Bella

 

Akizungumza na EATV & EA Radio Digital, Miss Bella amesema ni kweli ameshafumaniwa mara zote hizo na kwa siku huwa anatongozwa na wanaume 50 hadi 150.

"Mimi nimeshafumaniwa zaidi ya mara 75 tangu nizaliwe, mimi ni Mmakonde mwanaume akiwa kwangu habanduki mpaka niamue mwenyewe  na nimeshapiga sana tu, na kwa siku natongozwa na wanaume 50 hadi 150 kwenye ujumbe wa mtandao wa Instagram, lakini huwa nachagua wa kuwa naye" ameeleza Miss Bella. 

Aidha Miss Bella ameendelea kusema "Kuna muda huwa unavunja mahusiano na mtu wako, na wewe unataka kufanya mapenzi hivyo lazima utafute mtu wa kufanya naye, halafu mimi bado ni binti, msichana kabisa hata miaka 32 sijafika kwahiyo mapenzi ni lazima".

Miss Bella aliwahi kutangaza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwana Hiphop Godzilla, ambapo watu walidai kama anatafuta kiki.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava