Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Picha ya mwezi, Prof Jay na P Majani imeisha hiyo

Jumamosi , 4th Jul , 2020

Baada ya kuwa na tofauti kwa wakongwe wa muziki hapa nchini kati ya mtayarishaji P Funk Majani na Mbunge anayeongoza watu na wanyama jimbo la Mikumi Prof Jay, wameonekana kumaliza tofauti zao baada ya kupost picha wakiwa pamoja.

Picha ya pamoja kwa wakongwe wa muziki kati ya Producer P Funk Majani na Mbunge wa Mikumi Prof Jay

Picha hiyo imepostiwa katika mtandao wa Twitter na Instagram za akaunti ya Prof Jay baada ya kutembelewa na P Funk Majani na msanii Mwana Fa katika studio yake mpya ya Mwanalizombe iliyopo Mikumi mkoani Morogoro.

"Ni baraka juu ya baraka mwanalizombe studios inazidi kupasua anga "Bomb Bomb Fire" na leo tumebahatika kutembelewa na magwiji wawili P Funk Majani na Mwana Fa, yaliyopita si ndwele tumeamua kuganga yajayo, tumerudi kufanya kazi pamoja tukiwa imara zaidi, yajayo yanafurahisha , eeeh Mwenyezi Mungu tusaidie" ameandika Prof Jay 

Mashabiki na Baadhi ya mastaa mbalimbali walionekana kufurahia kuona wawili hao kuungana pamoja huku wengine wakisema hiyo ni picha bora ya mwezi Julai.

Ukaribu wao uliingia tofauti baada ya P Funk Majani kupokea Milioni 100 za haki miliki za wimbo alioutengeneza ambao uliotumiwa na msanii wa Uganda, ambapo Cosota walidai kwamba pesa hizo alilipwa Prof Jay.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto