Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Sijafulia' - PNC

Jumatano , 19th Jul , 2017

Msanii wa Bongo Fleva PNC amekanusha tuhuma za kukimbia mji na kuishi wilayani Mkuranga mkoani Pwani kwa lengo la kujificha asionekane baada ya watu kumwambia amefulia kimuziki. 

"Siyo kweli kwamba nilijificha Mkuranga, bali kule ni nyumbani kwetu. Watanzania wengi wanafikiria msanii akikaa kimya amefulia pasipo kujua wakati mwingine mtu anakuwa ameamua kutulia na kuna mambo mengine anayafanya" alisema msanii huyo alipozumza na eNewz ya EATV.

Hata hivyo msanii huyo amewataka watu kujua kukwama ni sehemu ya maisha na inaweza kumtokea mtu yoyote.

"Kukwama ni sehemu ya maisha inaweza kumtokea mtu yoyote. Mimi kuhusu kutoa nyimbo sikukwama kwani narekodi mara kwa mara ila video kidogo ndiyo nilikwama lakini nimerudi nitafanya kazi," alisema.

Hata hivyo PNC aliwahi kukaririwa akisema wasanii  wengi pamoja yeye wanakuwa wanashindwa kusonga mbele kwenye muziki kutokana na kukosa uongozi

 "Wasanii wengi tunayumba kutokana na kukosa uongozi mzuri, kwa sababu mimi naamini naweza kufanya kazi nzuri, natakiwa kupata uongozi ambao utaweza kusimamia kazi zangu nikaweza kupiga hatua kubwa zaidi kama watu wengine walivyoweza kupiga hatua , napata changamoto nyingi sana mimi siwezi kuusimamia muziki wangu wote nikaweza, nahitaji sapoti pamoja na ushauri", alisema PNC.

 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu