Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prezzo ashindwa kujizuia kwa Rais Magufuli

Jumanne , 8th Oct , 2019

Msanii wa Kenya na mfanyabiashara Prezzo, ameonekana kumsifia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutokana na uongozi na utendaji wake wa kazi.

Msanii Prezzo na Rais Magufuli

Msanii huyo alipost video fupi katika mtandao wa kijamii wa Instagram ikimuonyesha Rais Magufuli akimsaidia Mwanamke mmoja ambaye alishindwa kulipa pesa, ambazo alikuwa anadaiwa katika Hospital ya taifa ya Muhimbili.

"Hii ilini-touch, Africa tungekuwa na viongozi kumi kama Muheshimiwa Magufuli kwakweli tungekuwa mbali sana badala ya kupata taabu saaaana. Mwenyezi Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako Your Excellency" aliandika.

Baada ya muda mfupi mashabiki walitoa maoni yao kuhusu video hiyo iliyopostiwa na Prezzo ambapo waliandika,

Eunice 8181 "Iliumiza wengi Sana, tuna Rais mwenye huruma Sana hasa kwa wanyonge".

John Maniha "Bonge la point bro. dingi huyu ni mashine na hana uoga kabisa, hata wazungu anawachana live bila kupepesa macho".

Asiimwe David "President magufuli mungu azidi kumlinda na pia akupe maisha mazuri more life mr president your humanity is a gift from God".

Ikumbukwe tu Prezzo ameingia rasmi kwenye siasa baada ya kutangazwa kugombea Ubunge katika kaunti ya Kibra iliyopo kusini mwa Jiji la Nairobi, msanii mwingine ambaye ameingia katika siasa ni Jose Chameleone kutoka nchini Uganda.

Kama watafanikiwa kushinda katika uchaguzi wao wataungana na wasanii ambao wapo kwenye uongozi wa siasa kama Prof. Jay , Joseph Mbilinyi "Mr II Sugu", na Jaguar kutoka Kenya.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava