Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ray aeleza idadi ya watoto wake

Jumatatu , 2nd Sep , 2019

Muigizaji Mkongwe wa Bongo Movie Vincent Kigosi 'Ray', amenyoosha maelezo kuhusu watoto ambao anataka kuwa nao katika familia pamoja na kutumia ukongwe wake katika kazi zake.

Vincent Kigosi 'Ray'

Ray ameieleza hayo EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa kuhusu kukaa kimya kwa muda mrefu.

"Mimi ni mkongwe mtu wa zamani, hata mambo yangu nitayachanganya kizamani na kisasa ili nipate kitu kikubwa katika soko la filamu la Tanzania, sijaonekana siku nyingi lakini nakuja sasa, sisi ni watu wazima tunaangaliaga tulikosea wapi na tunatakiwa kuelekea wapi".

Aidha ameendelea kueleza kuwa ana kitu kikubwa anakifanya kinakuja kuanzia mwezi Oktoba mwanzoni au mwishoni ambapo ataangalia ratiba yake itakavyokuwa kabla ya mwaka huu haijaisha.

Pia ameeleza kuhusu mpango wa kuongeza watoto wengine ambapo amesema kila kitu ni mipango ya Mungu, hata mtoto wao hawakupanga kuzaa ila imetokea ikawa hivyo, ila anategemea kupata watoto wawili tu anafunga kazi.

Hata hivyo Ray amesema ana mpango wa kuachia filamu itakayohusu maisha yake na familia kuanzia mtoto wake na mama wa mtoto huyo Chuchu Hansy.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava