Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ray kurudi na nguvu mpya kwenye 'bongo movie'

Jumatatu , 27th Feb , 2017

Msanii filamu Bongo Vincent Kigosi 'Ray' amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kuwa tayari kuipokea kazi yake mpya ya 'Gate Keeper' ambayo ina utofauti mkubwa katika kazi zake alizowahi kuzifanya hapo awali.

“Filamu yangu mpya itakuwa ya tofauti sana na itahusisha mastaa wengi kama Single Mtambalike ambaye amecheza kama Professa, Kajala Masanja aliyecheza kama mwananfunzi wa chuo kikuu, Baba Haji na wengine wengi na ninatarajia kuitoa tarehe 6 mwezi Machi”. Alisema Ray

Aidha Kigosi amesema kuwa upinzani kwenye filamu za ndani umepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na wasanii wengi kuogopa kutoa filamu kutokana na uungwaji mkono mdogo wanaopata kutoka kwa mashabiki.

“Kipindi cha nyuma ilikuwa mtu akiongelea filamu Bongo basi anamuongelea Ray na marehemu Kanumba ila kwa sasa hakuna tena kwa kuwa watu wanaogopa kupeleka filamu kwa wasambazaji maana wanakosa kuungwa mkono na watu wa mitaani hivyo wanajikuta wanapata hasara badala ya faida kama kawaida". Alisisitiza Ray

Msanii huyo amewaomba wananchi kuitafuta kazi yake hiyo mpya pindi itakapotoka ili waweze kujionea vitu vipya alivyokuja navyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava