Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rosa Ree afunguka kuhusu kupokonywa gari na nyumba

Jumatano , 7th Aug , 2019

Rosa Ree "Goddess Of Rap" kwa mara ya kwanza amefunguka kuhusu suala la yeye kupokonywa gari na nyumba alizopewa nchini Afrika Kusini.

Msanii Rosa Ree

Rapa huyo alipewa gari na nyumba mwaka jana 2018, ikiwa ni sehemu ya mkataba wake ambayo ilikuwa inamsimamia katika kazi zake iitwayo Dimo Prouduction.

Akizungumza kupitia EATV & EA Radio Digital Rosa Ree amefunguka kuwa,

"Hakuna kitu kibaya kilichotokea ila kila kampuni ina sheria zake na mnapokuwa mna mkataba basi kuna kuwa na makubaliano, gari na nyumba zilikuwa ni mali ya kampuni zilibaki ofisini kwa sababu ni mali za ofisi, mimi niliendelea kuhangaika kivyangu namshukuru mungu hakuniacha kinyonge sasa hivi nimepata vya kwangu".

Mwezi wa sita mwaka 2018, Rosa Ree alitangaza kupata dili la usimamizi katika kazi zake za kimuziki ambao ulimuwezesha kumpa gari, nyumba, pesa zenye thamani ya Milioni 400 pamoja na kuishi nchini Afrika Kusini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto