Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Lulu Diva kuuchukia u-'video queen'

Jumatatu , 27th Feb , 2017

Msanii Lulu Diva amefunguka kinachomkera katika kazi ya kuonekana kwenye video za muziki 'video queen' kuwa ni tabia ya wadada wengi wanaofanya kazi hiyo kujirahisisha kwa wanaume, jambo linalomfanya aichukie kazi hiyo hadi kuingia kwenye uimbaji.

Lulu Diva

Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio msanii huyo alionekana kukerwa na wadada hao kwa kuichukulia poa kazi hiyo na kusema hiyo ndiyo sababu ya wao kutolipwa pesa nzuri na wasanii.

"Nimetokea kutoipenda kazi ya 'Video Quen' kutokana na baadhi ya wadada hao kujirahisisha mno na hatimaye kazi hiyo kuonekana wahuni" Alisema Lulu 

Mrembo huyo ambaye kabla hajaingia kwenye tasnia ya uimbaji alikuwa ni miongoni mwa hao wadada wanaopamba video za muziki amesema misimamo yake ndiyo ilikuwa inampelekea kulipwa vizuri na kutolea mfano wa kazi mojawapo aliyofanya na Belle 9 kwamba alilipwa shilingi milioni 1.

Vilevile msanii huyo amewataka warembo hao waige mfano kwa wenzao kutoka nje ya nchi kazi wanavyozifanya ili waweze kupata malipo yao stahiki na siyo kuchafua ujuzi huo ambao mwisho wa siku watu wote wanaonekana hawana maana.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine